🔴TANGAZO :ASTERIA JOHN KUJA NA UZINDUZI WA ALBAM YA ZAMU YANGU



Mwimbaji wa Nyimbo za Injili kutokea mwanza aliyetamba na vibao vyake vikali kama vile Tulia,Hubadili nk 
Sasa anakuja na Albamu yake mpya iliyoipa jina la ZAMU YANGU anataajia kuizindua siku ya kusheherekea siku yake ya kuzaliwa tarehe 28.08.2023 ndani ya jiji la mwanza kwenye Ukumbi wa gandhi Hall kuanzia saa moja jioni,Hakuna kiingilio waimbaji mbalimbali watajuwepo
kwa Taarifa zaidi wasiliana na Mratibu wa tukio hili 0654 036 146




Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

ECOWAS, Umoja wa Afrika zakashifu jaribio la kupindua serikali Niger,Katika taarifa ECOWAS imetaka waliopanga majaribio ya mapinduzi ya serikali wamuachilie huru rais

Orodha ya Majina ya Waliopata Ajira Kada za Afya na Elimu Juni 2023