MGOMBEA WA URAISI WA ECOUDOR AUAWA KWA KUPIGWA RISASI

 

Fernando Villavicencio

Mgombea wa uraisi wa Ecoudor Fernando Villavicencio ameuawa kwa kupigwa risasi na mtu asiye julikana wakati wa kumaliza kapeni zake na ni wiki chache tu kuelekea Uchaguzi unao tarajiwa kufanyika tarehe 20.08.2023

Comments

Popular posts from this blog

ECOWAS, Umoja wa Afrika zakashifu jaribio la kupindua serikali Niger,Katika taarifa ECOWAS imetaka waliopanga majaribio ya mapinduzi ya serikali wamuachilie huru rais

Orodha ya Majina ya Waliopata Ajira Kada za Afya na Elimu Juni 2023