Orodha ya Majina ya Waliopata Ajira Kada za Afya na Elimu Juni 2023


RAIS SAMIA ATOA AJIRA 21,200 ZA ELIMU NA AFYA

OR- TAMISEMI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia kibali cha kuajiri watumishi 21,200 wa Kada za Ualimu na Afya. Idadi ya Watumishi watakaoajiriwa katika Kada za Ualimu ni 13,130 ambao watafundisha katika shule za Msingi na Sekondari. Aidha idadi ya watumishi watakaoajiriwa katika kada za Afya ni 8,070 ambao watafanya kazi katika Hospitali za Halmashauri, Vituo vya Afya na Zahanati.

Angellah Kairuki
Waziri wa Nchi - OR TAMISEMI
12.04.2023. BOFYA HIYO LINK CHINI KUONA MAJINA YA AFYA

Comments

Popular posts from this blog

ECOWAS, Umoja wa Afrika zakashifu jaribio la kupindua serikali Niger,Katika taarifa ECOWAS imetaka waliopanga majaribio ya mapinduzi ya serikali wamuachilie huru rais

Orodha ya Majina ya Waliopata Ajira Kada za Afya na Elimu Juni 2023